0
RC amuagiza RPC kukomesha uhalifu wa askari
Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Mhe. Ludovick Mwananzila amemuagiza kamanda wa polisi mkoani hapa, Hamis Issa kuhakikisha hakuna askari anayejihusisha au kushirikiana na wahalifu
Hatua hiyo inatokana na baadhi ya askari kutuhumiwa kushirikiana na wahalifu au kujihusisha na vitendo vya uhalifu. Akizungumza katika
hafla ya kumuaga aliyekuwa kamanda wa mkoa, Suzan Kaganda na kumkaribisha Issa, Mwananzila alisema ni aibu kwa askari kushirikiana na wahalifu au kujihusisha na uhalifu.
chanzo mwananchi.co.tz
Search
Most Reads
-
Sikiliza na kudownload nyimbo mpya ya zigo kutoka kwa mzee wa comercial Ay akiwa na diamond platnumz
-
Drake’s “Views From the 6” launch date is not even in sight, but the hype and wait around the album is still going strong. A recent D...
Labels List Numbered
Blog Archive
- August 2021 (1)
- January 2016 (29)
- December 2015 (10)
Mill M. Powered by Blogger.