RC amuagiza RPC kukomesha uhalifu wa askari


Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Mhe. Ludovick Mwananzila amemuagiza kamanda wa polisi mkoani hapa, Hamis Issa kuhakikisha hakuna askari anayejihusisha au kushirikiana na wahalifu
Hatua hiyo inatokana na baadhi ya askari kutuhumiwa kushirikiana na wahalifu au kujihusisha na vitendo vya uhalifu. Akizungumza katika
hafla ya kumuaga aliyekuwa kamanda wa mkoa, Suzan Kaganda na kumkaribisha Issa, Mwananzila alisema ni aibu kwa askari kushirikiana na wahalifu au kujihusisha na uhalifu.
chanzo mwananchi.co.tz

Mlunda Rwanda

We all got 24 hours a day so you better use them well.