0
RC amuagiza RPC kukomesha uhalifu wa askari
Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Mhe. Ludovick Mwananzila amemuagiza kamanda wa polisi mkoani hapa, Hamis Issa kuhakikisha hakuna askari anayejihusisha au kushirikiana na wahalifu
Hatua hiyo inatokana na baadhi ya askari kutuhumiwa kushirikiana na wahalifu au kujihusisha na vitendo vya uhalifu. Akizungumza katika
hafla ya kumuaga aliyekuwa kamanda wa mkoa, Suzan Kaganda na kumkaribisha Issa, Mwananzila alisema ni aibu kwa askari kushirikiana na wahalifu au kujihusisha na uhalifu.
chanzo mwananchi.co.tz
Search
Most Reads
-
Simu hizo huwa moja wapo kati ya hizi: TECNO , SAMSUNG SONY, na nyingine nyingi za aina hizi. Kama simu yako iliyopotea ni an...
Labels List Numbered
Blog Archive
- August 2021 (1)
- January 2016 (29)
- December 2015 (10)
Mill M. Powered by Blogger.