0
RC amuagiza RPC kukomesha uhalifu wa askari
Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Mhe. Ludovick Mwananzila amemuagiza kamanda wa polisi mkoani hapa, Hamis Issa kuhakikisha hakuna askari anayejihusisha au kushirikiana na wahalifu
Hatua hiyo inatokana na baadhi ya askari kutuhumiwa kushirikiana na wahalifu au kujihusisha na vitendo vya uhalifu. Akizungumza katika
hafla ya kumuaga aliyekuwa kamanda wa mkoa, Suzan Kaganda na kumkaribisha Issa, Mwananzila alisema ni aibu kwa askari kushirikiana na wahalifu au kujihusisha na uhalifu.
chanzo mwananchi.co.tz
Search
Most Reads
-
Msanii mkubwa kutoka Tanzania afahamikae kwa jina la Diamond Platinumz athibitisha kuagiza gari aina ya Lamborghini siku za hivi karibuni b...
-
Big Sean is pitching in to help solve the Flint water crisis. The Detroit rapper and his non-profit, the Sean Anderson Foundation...
-
RIHANNA FT DRAKE WORK RIHANNA FT DRAKE WORK RIHANNA FT DRAKE WORK RIHANNA FT DRAKE WORK RIHANNA FT DRAKE WORK RIHANNA FT DRAKE WORK ...
-
Kendrick Lamar leads all nominees with 11, The Weeknd and Taylor Swift each have 7 nominations. With less than a month to go until the...
Labels List Numbered
Blog Archive
- August 2021 (1)
- January 2016 (29)
- December 2015 (10)
Mill M. Powered by Blogger.