0
RC amuagiza RPC kukomesha uhalifu wa askari
Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Mhe. Ludovick Mwananzila amemuagiza kamanda wa polisi mkoani hapa, Hamis Issa kuhakikisha hakuna askari anayejihusisha au kushirikiana na wahalifu
Hatua hiyo inatokana na baadhi ya askari kutuhumiwa kushirikiana na wahalifu au kujihusisha na vitendo vya uhalifu. Akizungumza katika
hafla ya kumuaga aliyekuwa kamanda wa mkoa, Suzan Kaganda na kumkaribisha Issa, Mwananzila alisema ni aibu kwa askari kushirikiana na wahalifu au kujihusisha na uhalifu.
chanzo mwananchi.co.tz
Search
Most Reads
-
Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Mhe. Ludovick Mwananzila amemuagiza kamanda wa polisi mkoani hapa, Hamis Issa kuhakikisha hakuna askari anayejihu...
-
Yeah, you read that right. Amber Rose revealed her own nudes before the hackers could get to it. She's not ashamed to show what W...
-
Looks like Nicki Minaj is ready to meet Meek Mill at the altar and is involving her twitter followers. RT for beach wedding. Fave for...
-
Meek Mill ’s latest Instagram post about his girlfriend Nicki Minaj has raised several doubts in the minds of social media users. The Ph...
Labels List Numbered
Blog Archive
- August 2021 (1)
- January 2016 (29)
- December 2015 (10)
Mill M. Powered by Blogger.