Msanii mkubwa kutoka Tanzania afahamikae kwa jina la Diamond Platinumz athibitisha kuagiza gari aina ya Lamborghini siku za hivi karibuni baada ya kununua gari aina ya Rolls Royce toleo la 2021.
Mfano wa gari ya aina hiyo picha hapo chini hili ni toleo la Lamborghini toleo la 2021 na linafahamika kama
2021 Lamborghini Sian Roadster